Kumbukumbu la Torati 12:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 kwani hamjafikia bado katika raha na urithi akupao BWANA, Mungu wako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 kwa sababu bado hamjaingia mahali pa kupumzikia na katika urithi anaowapeni Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 kwa sababu bado hamjaingia mahali pa kupumzikia na katika urithi anaowapeni Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 kwa sababu bado hamjaingia mahali pa kupumzikia na katika urithi anaowapeni Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 kwa kuwa bado hamjafikia mahali pa mapumziko na urithi ambao Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, anawapa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 kwa kuwa bado hamjafikia mahali pa mapumziko na urithi ambao bwana Mwenyezi Mungu wenu anawapa. Tazama sura |