Kumbukumbu la Torati 12:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 lakini hivyo mtakula mbele za BWANA, Mungu wako, mahali atakapochagua BWANA, Mungu wako, wewe, na mwanao wa kiume na wa kike, na mtumwa wako mume na mke, na Mlawi aliye ndani ya malango yako; nawe furahi mbele za BWANA, Mungu wako, katika yote utakayotia mkono wako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Mtavila vitu hivyo mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, mahali atakapopachagua Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu. Mtavila nyinyi pamoja na watoto wenu wa kiume na wa kike, watumishi wenu wa kiume na wa kike, na Walawi wanaoishi katika miji yenu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Mtavila vitu hivyo mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, mahali atakapopachagua Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu. Mtavila nyinyi pamoja na watoto wenu wa kiume na wa kike, watumishi wenu wa kiume na wa kike, na Walawi wanaoishi katika miji yenu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Mtavila vitu hivyo mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, mahali atakapopachagua Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu. Mtavila nyinyi pamoja na watoto wenu wa kiume na wa kike, watumishi wenu wa kiume na wa kike, na Walawi wanaoishi katika miji yenu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Badala yake, mtakula vitu hivyo katika uwepo wa Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, mahali Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, atakapopachagua: wewe, wana wako na binti zako, watumishi wako wa kiume na wa kike, na Walawi kutoka miji yenu. Mnatakiwa mfurahi mbele za Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, kwa kula kitu mtakachoweka mikono yenu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Badala yake, mtakula vitu hivyo katika uwepo wa bwana Mwenyezi Mungu wenu mahali ambapo bwana Mwenyezi Mungu wenu atapachagua: wewe, wana wako na binti zako, watumishi wako wa kiume na wa kike, na Walawi kutoka miji yenu. Mnatakiwa mfurahi mbele za bwana Mwenyezi Mungu wenu kwa kula kitu mtakachoweka mikono yenu. Tazama sura |