Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 12:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Lakini msiile damu; imwageni juu ya nchi kama maji.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Lakini msile damu ya wanyama hao; imwageni damu hiyo ardhini kama maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Lakini msile damu ya wanyama hao; imwageni damu hiyo ardhini kama maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Lakini msile damu ya wanyama hao; imwageni damu hiyo ardhini kama maji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Lakini kamwe usile damu; imwage ardhini kama maji.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Lakini kamwe usinywe damu; imwage juu ya ardhi kama maji.

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 12:16
15 Marejeleo ya Msalaba  

Bali nyama pamoja na uhai, yaani, damu yake, msile.


Maana damu yake imo ndani yake; aliiweka juu ya jabali lililo wazi; hakuimwaga juu ya nchi, apate kuifunika kwa mavumbi;


Basi, waambie, Bwana MUNGU asema hivi; Mnakula nyama pamoja na damu yake, na kuviinulia vinyago vyenu macho yenu, na kumwaga damu; je, mtaimiliki nchi hii?


Msile kitu chochote pamoja na damu yake; wala msifanye kuloga, wala kutumia utambuzi.


Neno hili litakuwa amri ya daima, katika vizazi vyenu vyote, ndani ya nyumba zenu zote, ya kwamba hamtakula mafuta wala damu kabisa.


bali tuwaandikie kwamba wajiepushe na unajisi wa sanamu, na uasherati, na nyama zilizosongolewa, na damu.


yaani, mjiepushe na vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu, na damu, na nyama zilizosongolewa, na uasherati. Mkijizuia na hayo, mtafanya vema. Wasalamu.


Utamla ndani ya malango yako; wasio tohara na wenye tohara pia watakula, kama unavyokula paa na kulungu.


Pamoja na haya usile damu yake; uimwage nchi kama maji.


Kwa maana kila kiumbe cha Mungu ni kizuri, wala hakuna cha kukataliwa, kama kikipokewa kwa shukrani;


Basi watu wakazirukia zile nyara, wakatwaa kondoo, na ng'ombe, na ndama, na kuwachinja papo hapo juu ya nchi, nao wale watu walikuwa wakiwala pamoja na damu.


Ndipo wakamwambia Sauli, wakisema, Angalia, watu hao wanakosa juu ya BWANA, kwa jinsi wanavyokula pamoja na damu. Naye akasema, Ninyi mmefanya kwa hiana; vingirisheni kwangu leo jiwe kubwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo