Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 11:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 na alivyowafanya Dathani, na Abiramu, wana wa Eliabu mwana wa Reubeni; nchi ilivyofunua kinywa chake, ikawameza, na walio nyumbani mwao, na mahema yao, na kila kitu kilichokuwa hai kikiwafuata, katikati ya Israeli yote;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 na mambo aliyowatenda Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu, mwana wa Reubeni; jinsi mbele ya watu wote wa Israeli nchi ilivyofunuka na kuwameza pamoja na jamaa zao, mahema yao, wanyama na watumishi wao wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 na mambo aliyowatenda Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu, mwana wa Reubeni; jinsi mbele ya watu wote wa Israeli nchi ilivyofunuka na kuwameza pamoja na jamaa zao, mahema yao, wanyama na watumishi wao wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 na mambo aliyowatenda Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu, mwana wa Reubeni; jinsi mbele ya watu wote wa Israeli nchi ilivyofunuka na kuwameza pamoja na jamaa zao, mahema yao, wanyama na watumishi wao wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 wala lile Mungu alilowafanyia Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu wa kabila la Reubeni, wakati ardhi ilipofungua kinywa chake katikati ya Israeli yote, ikawameza pamoja na walio nyumbani mwao, mahema yao na kila kitu hai kilichokuwa mali yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 wala lile Mungu alilowafanyia Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu wa kabila la Reubeni, wakati ardhi ilipofungua kinywa chake katikati ya Israeli yote, ikawameza pamoja na walio nyumbani mwao, hema zao na kila kitu kilichokuwa hai ambacho kilikuwa mali yao.

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 11:6
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamhusudu Musa kambini, Na Haruni, mtakatifu wa BWANA.


Nchi ikapasuka ikammeza Dathani, Ikaufunika mkutano wa Abiramu.


Dunia kuvunjika, inavunjika sana; dunia kupasuka, imepasuka sana; dunia kutikisika, imetikisika sana.


Hata hivyo, hao wana wa Kora hawakufa.


Baba yetu alikufa nyikani, naye hakuwamo katika mkutano wa hao waliojikutanisha kinyume cha BWANA katika mkutano wa Kora; lakini akafa katika dhambi zake mwenyewe; naye alikuwa hana wana wa kiume.


na mambo aliyowafanyia ninyi nyikani, hadi mkafika mahali hapa;


lakini macho yenu yameiona kazi kubwa ya BWANA aliyoifanya, yote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo