Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 11:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

32 Nanyi angalieni mzifanye amri na hukumu zote niwawekeazo leo mbele yenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 muwe waangalifu kutimiza masharti yote na maagizo ninayowapa leo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 muwe waangalifu kutimiza masharti yote na maagizo ninayowapa leo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 muwe waangalifu kutimiza masharti yote na maagizo ninayowapa leo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 hakikisheni kwamba mnatii amri na sheria zote ninazoziweka mbele yenu leo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 hakikisheni kwamba mnatii amri na sheria zote ninazoziweka mbele yenu leo.

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 11:32
14 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo mimi sitaaibika, Nikiyaangalia maagizo yako yote.


na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.


Na wote wawili walikuwa wenye haki mbele za Mungu, wakiishi katika amri zote za Bwana na maagizo yake bila lawama.


Ninyi mmekuwa rafiki zangu, mkitenda niwaamuruyo.


Kwani ninyi mtavuka Yordani mwingie kuimiliki nchi awapayo BWANA, Mungu wenu, nanyi muimiliki na kuketi humo.


Hizi ndizo amri na hukumu mtakazofuataa kuzifanya katika nchi aliyokupa BWANA, Mungu wa baba zako, uimiliki, siku zote mtakazoishi juu ya nchi.


Neno lolote ninalowaagiza lizingatieni, usilizidishe, wala usilipunguze.


Atakapokushawishi kwa siri ndugu yako, mwana wa mama yako, au mwana wako, au binti yako, au mke wa kifuani mwako, au rafiki yako aliye kama moyo wako, akikuambia, Twende tukaabudu miungu mingine usiyoijua wewe wala baba zako;


Na sasa, Ee Israeli, zisikilizeni amri na hukumu ninazowafundisha, ili mzitende; mpate kuishi na kuingia na kuimiliki nchi anayowapa BWANA, Mungu wa baba zenu.


Angalieni nimewafundisha amri na hukumu, vile vile kama BWANA, Mungu wangu, alivyoniamuru, ili mzitende katika nchi mwingiayo ili kuimiliki.


Jihadhari, usije ukamsahau BWANA, Mungu wako, kwa kutozishika amri zake, na hukumu zake, na sheria zake, ninazokuamuru leo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo