Kumbukumbu la Torati 11:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC28 na laana ni hapo msipotii maagizo ya BWANA, Mungu wenu, mkapotoka katika njia niwaagizayo leo, kwa kuandama miungu mingine msiyoijua. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema28 na laana, kama hamtazitii amri za Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, na kuiacha njia ninayowaamuru, mkaabudu miungu mingine ambayo hata hamjawahi kuijua. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND28 na laana, kama hamtazitii amri za Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, na kuiacha njia ninayowaamuru, mkaabudu miungu mingine ambayo hata hamjawahi kuijua. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza28 na laana, kama hamtazitii amri za Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, na kuiacha njia ninayowaamuru, mkaabudu miungu mingine ambayo hata hamjawahi kuijua. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu28 laana kama hamtatii maagizo ya Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, na kuacha njia ninayowaamuru leo kwa kufuata miungu mingine, ambayo hamkuijua. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu28 laana kama hamtatii maagizo ya bwana Mwenyezi Mungu wenu na kuacha njia ambayo ninawaamuru leo kwa kufuata miungu mingine, ambayo hamkuijua. Tazama sura |