Kumbukumbu la Torati 11:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Kwa ajili hii mpende BWANA, Mungu wako, na kushika sikuzote mausia yake, na amri zake, na hukumu zake, na maagizo yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 “Kwa ajili hiyo, mpendeni Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, na kushika siku zote kanuni zake, masharti yake, maagizo yake na amri zake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 “Kwa ajili hiyo, mpendeni Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, na kushika siku zote kanuni zake, masharti yake, maagizo yake na amri zake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 “Kwa ajili hiyo, mpendeni Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, na kushika siku zote kanuni zake, masharti yake, maagizo yake na amri zake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Mpende Mwenyezi Mungu, Mungu wako, na kushika masharti yake, amri zake, sheria zake na maagizo yake siku zote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Mpende bwana Mwenyezi Mungu wako na kushika masharti yake, amri zake, sheria zake na maagizo yake siku zote. Tazama sura |