Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 10:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Huwafanyia yatima na mjane hukumu ya haki, naye humpenda mgeni, akimpa chakula na mavazi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Huwapa haki yatima na wajane; huwapenda wageni na kuwapa chakula na nguo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Huwapa haki yatima na wajane; huwapenda wageni na kuwapa chakula na nguo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Huwapa haki yatima na wajane; huwapenda wageni na kuwapa chakula na nguo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Huwapigania yatima na wajane, humpenda mgeni, akimpa chakula na mavazi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Huwapigania yatima na wajane, humpenda mgeni, akimpa chakula na mavazi.

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 10:18
19 Marejeleo ya Msalaba  

Basi sasa hofu ya BWANA na iwe juu yenu; aiweni waangalifu katika jambo mtendalo, kwa maana kwa BWANA, Mungu wetu hakuna upotoshaji wala kupendelea nafsi za watu au kupokea rushwa.


Ili kumhukumu yatima na aliyeonewa, Binadamu aliye udongo asizidi kudhulumu.


BWANA ndiye afanyaye mambo ya haki, Na hukumu kwa wote wanaoonewa.


BWANA ni mwema kwa watu wote, Na rehema zake ziko juu ya vyote alivyoumba.


BWANA huwahifadhi wageni; Huwategemeza yatima na mjane; Bali njia ya wasio haki huiharibu.


Baba wa yatima na mwamuzi wa wajane, Ni Mungu aliye katika kao lake takatifu.


Mungu huwapa wapweke makao yao; Huwapa wafungwa uhuru na kuwafanikisha; Bali wakaidi huishi katika nchi kavu.


Mtu atakayemchinjia sadaka mungu yeyote, isipokuwa ni yeye BWANA peke yake, na angamizwe kabisa.


Usimwonee mgeni, wala kumtendea jeuri; kwa kuwa ninyi mlikuwa wageni katika nchi ya Misri.


Usimtese mjane yeyote aliyefiwa na mumewe, wala mtoto yatima.


Ukiwatesa watu hao katika neno lolote, nao wakanililia mimi, hakika yangu nitasikia kilio chao,


jifunzeni kutenda mema; takeni hukumu na haki; wasaidieni walioonewa; mpatieni yatima haki yake; mteteeni mjane.


Waache watoto wako wasio na baba, mimi nitawahifadhi hai, na wajane wako na wanitumaini mimi.


Ashuru hatatuokoa; hatutapanda farasi; wala hatutaiambia tena kazi ya mikono yetu, Ninyi ndinyi miungu yetu; maana kwako wewe wasio na baba hupata rehema.


Na ikiwa ndugu yako amekuwa maskini, na mkono wake umelegea kwako, ndipo utamsaidia, atakaa nawe kama mgeni, na msafiri.


Isitoshe, ukienda pamoja nasi, naam, mema yote ambayo BWANA atatutendea, nawe tutakutendea vivyo hivyo.


ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.


Lakini hakujiacha pasipo ushuhuda, kwa kuwa alitenda mema, akiwapeni mvua kutoka mbinguni, na nyakati za mavuno, akiwashibisha mioyo yenu chakula na furaha.


Na alaaniwe apotoaye hukumu ya mgeni, na yatima, na mjane aliyefiliwa na mumewe. Na watu wote waseme, Amina.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo