Kumbukumbu la Torati 10:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Na sasa, Israeli, BWANA, Mungu wako, anataka nini kwako, ila umche BWANA, Mungu wako, na kwenda katika njia zake zote, na kumpenda, na kumtumikia BWANA, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 “Sasa, enyi Waisraeli, Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu anataka nini kwenu, ila kumcha Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, kuzifuata njia zake zote, kumpenda, kumtumikia Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, kwa mioyo yenu yote na kwa roho zenu zote, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 “Sasa, enyi Waisraeli, Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu anataka nini kwenu, ila kumcha Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, kuzifuata njia zake zote, kumpenda, kumtumikia Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, kwa mioyo yenu yote na kwa roho zenu zote, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 “Sasa, enyi Waisraeli, Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu anataka nini kwenu, ila kumcha Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, kuzifuata njia zake zote, kumpenda, kumtumikia Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, kwa mioyo yenu yote na kwa roho zenu zote, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Na sasa, ee Israeli, Mwenyezi Mungu, Mungu wako, anataka nini kwako ila kumcha Mwenyezi Mungu, Mungu wako, kwenda katika njia zake, kumpenda na kumtumikia Mwenyezi Mungu, Mungu wako, kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Na sasa, ee Israeli, bwana Mwenyezi Mungu wako anataka nini kwako ila kumcha bwana Mwenyezi Mungu wako, kwenda katika njia zake, kumpenda na kumtumikia bwana Mwenyezi Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote, Tazama sura |