Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 10:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Nikakaa mle mlimani kama hapo kwanza, siku arubaini usiku na mchana; BWANA akanisikiza wakati huo nao; BWANA asitake kukuangamiza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 “Nilikaa mlimani kwa muda wa siku arubaini, usiku na mchana, kama hapo awali. Mwenyezi-Mungu alinisikiliza kwa mara nyingine tena na akakubali kwamba hatawaangamiza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 “Nilikaa mlimani kwa muda wa siku arubaini, usiku na mchana, kama hapo awali. Mwenyezi-Mungu alinisikiliza kwa mara nyingine tena na akakubali kwamba hatawaangamiza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 “Nilikaa mlimani kwa muda wa siku arubaini, usiku na mchana, kama hapo awali. Mwenyezi-Mungu alinisikiliza kwa mara nyingine tena na akakubali kwamba hatawaangamiza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Basi nilikaa mlimani kwa siku arobaini usiku na mchana, kama nilivyofanya mara ya kwanza, pia Mwenyezi Mungu alinisikiliza hata wakati huu. Haikuwa nia yake kuwaangamiza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Basi nilikaa mlimani kwa siku arobaini usiku na mchana, kama nilivyofanya mara ya kwanza, pia bwana alinisikiliza hata wakati huu. Haikuwa nia yake kuwaangamiza.

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 10:10
10 Marejeleo ya Msalaba  

Musa akaingia ndani ya lile wingu, akapanda mlimani; Musa akawa humo katika ule mlima siku arubaini, mchana na usiku.


Na BWANA akaughairi ule uovu aliosema ya kwamba atawatenda watu wake.


BWANA akamwambia Musa, Nitafanya na neno hili ulilolinena, kwa maana umepata neema mbele zangu, nami nakujua jina lako.


Naye alikuwa huko pamoja na BWANA siku arubaini na masiku yake; hakula chakula, wala hakunywa maji. Naye akaandika katika hizo mbao, hayo maneno ya maagano, hizo amri kumi.


Yeye ni mfalme wa Israeli; na ashuke sasa msalabani, nasi tutamwamini.


BWANA akaniambia, Ondoka, uendelee na safari yako ukiwaongoza watu; nao wataingia waimiliki nchi, niliyowaapia baba zao ya kuwa nitawapa.


Ndipo nikaanguka chini mbele za BWANA siku zile arubaini usiku na mchana nilizokuwa nimeanguka chini; kwa kuwa BWANA alisema atawaangamiza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo