Kumbukumbu la Torati 1:43 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC43 Hata ingawa niliwaambia, hamkunisikiza, bali mliasi amri ya Bwana, makajiamini na kulewa mlimani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema43 Basi, mimi niliwaambieni hivyo, lakini nyinyi hamkusikia. Badala yake mlikataa kufuata agizo la Mwenyezi-Mungu, bila kujali mkaingia katika nchi hiyo ya milima. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND43 Basi, mimi niliwaambieni hivyo, lakini nyinyi hamkusikia. Badala yake mlikataa kufuata agizo la Mwenyezi-Mungu, bila kujali mkaingia katika nchi hiyo ya milima. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza43 Basi, mimi niliwaambieni hivyo, lakini nyinyi hamkusikia. Badala yake mlikataa kufuata agizo la Mwenyezi-Mungu, bila kujali mkaingia katika nchi hiyo ya milima. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu43 Hivyo niliwaambia, lakini hamkutaka kusikia. Mliasi dhidi ya amri ya Mwenyezi Mungu, na katika kiburi chenu mlienda katika nchi ya vilima. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu43 Hivyo niliwaambia, lakini hamkutaka kusikia. Mliasi dhidi ya amri ya bwana, na katika kiburi chenu mlienda katika nchi ya vilima. Tazama sura |