Kumbukumbu la Torati 1:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC37 Na BWANA alinikasirikia mimi kwa ajili yenu, akasema, Wala wewe hutaingia humo; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema37 Mwenyezi-Mungu alinikasirikia mimi pia kwa sababu yenu, akasema, ‘Hata wewe Mose hutaingia katika nchi hiyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND37 Mwenyezi-Mungu alinikasirikia mimi pia kwa sababu yenu, akasema, ‘Hata wewe Mose hutaingia katika nchi hiyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza37 Mwenyezi-Mungu alinikasirikia mimi pia kwa sababu yenu, akasema, ‘Hata wewe Mose hutaingia katika nchi hiyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu37 Kwa sababu yenu Mwenyezi Mungu pia alinikasirikia mimi, akasema, “Hutaingia hiyo nchi pia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu37 Kwa sababu yenu bwana pia alinikasirikia mimi, akasema, “Hutaingia hiyo nchi pia. Tazama sura |