Kumbukumbu la Torati 1:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 na huko jangwani, ulipoona alivyokuchukua BWANA, Mungu wako, kama mtu amchukuavyo mwanawe, njia yote mliyoiendea, hata mkafika mahali hapa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 kule jangwani ambako mliona jinsi alivyowabeba safari hiyo yote kama vile baba amchukuavyo mwanawe mpaka mkafika hapa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 kule jangwani ambako mliona jinsi alivyowabeba safari hiyo yote kama vile baba amchukuavyo mwanawe mpaka mkafika hapa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 kule jangwani ambako mliona jinsi alivyowabeba safari hiyo yote kama vile baba amchukuavyo mwanawe mpaka mkafika hapa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 na pia huko jangwani. Huko mliona jinsi Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, alivyowachukua, kama baba amchukuavyo mwanawe, katika njia yote mliyoiendea hadi mkafika mahali hapa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 na pia huko jangwani. Huko mliona jinsi bwana Mwenyezi Mungu wenu alivyowachukua, kama baba amchukuavyo mwanawe, katika njia yote mliyoiendea mpaka mkafika mahali hapa.” Tazama sura |