Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kumbukumbu la Torati 1:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Nao wakageuka, wakapanda mlimani wakafika katika bonde la Eshkoli, wakalipeleleza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Watu hao walikwenda katika nchi ile ya milima, wakafika kwenye bonde la Eshkoli na kulipeleleza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Watu hao walikwenda katika nchi ile ya milima, wakafika kwenye bonde la Eshkoli na kulipeleleza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Watu hao walikwenda katika nchi ile ya milima, wakafika kwenye bonde la Eshkoli na kulipeleleza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Waliondoka na kukwea katika nchi ya vilima, wakafika katika Bonde la Eshkoli na kuipeleleza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Waliondoka na kukwea katika nchi ya vilima, wakafika katika Bonde la Eshkoli na kuipeleleza.

Tazama sura Nakili




Kumbukumbu la Torati 1:24
6 Marejeleo ya Msalaba  

nayo nchi ni ya namna gani, kama ni nchi ya utajiri au ya umaskini; kama ina misitu au haina. Kuweni na mioyo ujasiri, mkayalete matunda ya nchi. Basi wakati ule ulikuwa wakati wa kuiva zabibu za kwanza.


Kwa kuwa walipokwea na kuingia bonde la Eshkoli, na kuiona nchi, wakawavunja mioyo wana wa Israeli, ili wasikwee kuingia nchi aliyowapa BWANA.


Neno hili likanipendeza sana; nikatwaa watu kumi na wawili, mtu mmoja wa kila kabila.


Wakachuma baadhi ya matunda ya nchi ile mikononi mwao, wakatuletea huku chini, wakatuletea habari tena, wakasema, Nchi hii anayotupa BWANA, Mungu wetu, ni nchi njema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo