Isaya 66:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC22 Kama vile mbingu mpya na nchi mpya, nitakazofanya, zitakavyokaa mbele zangu, asema BWANA, ndivyo uzao wenu na jina lenu litakavyokaa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 “Kama vile mbingu mpya na dunia mpya nitakazoumba zitakavyodumu milele kwa uwezo wangu, ndivyo wazawa wako na jina lako litakavyodumu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 “Kama vile mbingu mpya na dunia mpya nitakazoumba zitakavyodumu milele kwa uwezo wangu, ndivyo wazawa wako na jina lako litakavyodumu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 “Kama vile mbingu mpya na dunia mpya nitakazoumba zitakavyodumu milele kwa uwezo wangu, ndivyo wazawa wako na jina lako litakavyodumu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 “Kama vile mbingu mpya na nchi mpya ninazozifanya zitakavyodumu mbele zangu,” asema Mwenyezi Mungu, “ndivyo jina lenu na wazao wenu watakavyodumu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 “Kama vile mbingu mpya na nchi mpya ninazozifanya zitakavyodumu mbele zangu,” asema bwana, “ndivyo jina lenu na wazao wenu watakavyodumu. Tazama sura |