Isaya 66:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC21 Na baadhi ya hao nitawatwaa kuwa makuhani na Walawi, asema BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Pia nitawachagua baadhi yao kuwa makuhani na baadhi yao kuwa Walawi. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Pia nitawachagua baadhi yao kuwa makuhani na baadhi yao kuwa Walawi. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Pia nitawachagua baadhi yao kuwa makuhani na baadhi yao kuwa Walawi. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Nami nitachagua baadhi yao pia wawe makuhani na Walawi,” asema Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Nami nitachagua baadhi yao pia wawe makuhani na Walawi,” asema bwana. Tazama sura |