Isaya 63:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Maana wewe ndiwe Baba yetu, ijapokuwa Abrahamu hatujui, wala Israeli hatukiri; wewe, BWANA, ndiwe Baba yetu, mkombozi wetu tangu milele ndilo jina lako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Maana wewe ndiwe Baba yetu; Abrahamu, mzee wetu, hatujali, naye Israeli hatutambui; lakini wewe, ee Mwenyezi-Mungu, ni Baba yetu. Wewe umeitwa tangu kale: “Mkombozi wetu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Maana wewe ndiwe Baba yetu; Abrahamu, mzee wetu, hatujali, naye Israeli hatutambui; lakini wewe, ee Mwenyezi-Mungu, ni Baba yetu. Wewe umeitwa tangu kale: “Mkombozi wetu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Maana wewe ndiwe Baba yetu; Abrahamu, mzee wetu, hatujali, naye Israeli hatutambui; lakini wewe, ee Mwenyezi-Mungu, ni Baba yetu. Wewe umeitwa tangu kale: “Mkombozi wetu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Lakini wewe ni Baba yetu, ingawa Ibrahimu hatufahamu sisi wala Israeli hatutambui; wewe, Ee Mwenyezi Mungu, ndiwe Baba yetu, Mkombozi wetu tangu zamani za kale ndilo jina lako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Lakini wewe ni Baba yetu, ingawa Ibrahimu hatufahamu sisi wala Israeli hatutambui; wewe, Ee bwana, ndiwe Baba yetu, Mkombozi wetu tangu zamani za kale ndilo jina lako. Tazama sura |