Isaya 63:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Aliyewaongoza kwa mkono wake mtukufu, kwa mkono wa kulia wa Musa? Aliyeyatenga maji mbele yao, ili ajifanyie jina la milele? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 ambaye kwa mkono wake wenye nguvu alifanya maajabu kwa njia ya Mose, akapasua bahari na kuwaongoza watu wake, na kujipatia jina la milele? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 ambaye kwa mkono wake wenye nguvu alifanya maajabu kwa njia ya Mose, akapasua bahari na kuwaongoza watu wake, na kujipatia jina la milele? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 ambaye kwa mkono wake wenye nguvu alifanya maajabu kwa njia ya Mose, akapasua bahari na kuwaongoza watu wake, na kujipatia jina la milele? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 aliyetuma mkono wake uliotukuka wenye nguvu kuwa katika mkono wa kuume wa Musa, aliyegawa maji ya bahari mbele yao, ili kujipatia jina milele, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 aliyetuma mkono wake uliotukuka wenye nguvu kuwa katika mkono wa kuume wa Musa, aliyegawa maji ya bahari mbele yao, ili kujipatia jina milele, Tazama sura |