Isaya 60:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Jua lako halitashuka tena, Wala mwezi wako hautajitenga; Kwa kuwa BWANA mwenyewe atakuwa nuru yako ya milele; Na siku za kuomboleza kwako zitakoma. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Mwanga wako mchana hautatua kama jua, wala mwangaza wako usiku kufifia kama mbalamwezi; maana Mwenyezi-Mungu ni mwanga wako milele, nazo siku zako za kuomboleza zitakoma. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Mwanga wako mchana hautatua kama jua, wala mwangaza wako usiku kufifia kama mbalamwezi; maana Mwenyezi-Mungu ni mwanga wako milele, nazo siku zako za kuomboleza zitakoma. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Mwanga wako mchana hautatua kama jua, wala mwangaza wako usiku kufifia kama mbalamwezi; maana Mwenyezi-Mungu ni mwanga wako milele, nazo siku zako za kuomboleza zitakoma. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Jua lako halitazama tena, nao mwezi wako hautafifia tena; Mwenyezi Mungu atakuwa nuru yako milele, nazo siku zako za huzuni zitakoma. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Jua lako halitazama tena, nao mwezi wako hautafifia tena; bwana atakuwa nuru yako milele, nazo siku zako za huzuni zitakoma. Tazama sura |