Isaya 57:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Bali wabaya wanafanana na bahari iliyochafuka; maana haiwezi kutulia, na maji yake hutoa tope na takataka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Lakini waovu ni kama bahari iliyochafuka, ambayo haiwezi kutulia; mawimbi yake hutupa tope na takataka.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Lakini waovu ni kama bahari iliyochafuka, ambayo haiwezi kutulia; mawimbi yake hutupa tope na takataka.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Lakini waovu ni kama bahari iliyochafuka, ambayo haiwezi kutulia; mawimbi yake hutupa tope na takataka.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Bali waovu ni kama bahari ichafukayo, ambayo haiwezi kutulia, mawimbi yake hutupa takataka na matope. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Bali waovu ni kama bahari ichafukayo, ambayo haiwezi kutulia, mawimbi yake hutupa takataka na matope. Tazama sura |