Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 56:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Enyi wanyama wote wa porini njoni Mle, enyi wanyama wote wa porini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Enyi wanyama wote wakali, nanyi wanyama wote wa mwituni, njoni muwatafune watu wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Enyi wanyama wote wakali, nanyi wanyama wote wa mwituni, njoni muwatafune watu wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Enyi wanyama wote wakali, nanyi wanyama wote wa mwituni, njoni muwatafune watu wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Njooni, enyi wanyama wote wa kondeni, njooni mle, ninyi wanyama wote wa mwituni!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Njooni, enyi wanyama wote wa kondeni, njooni mle, ninyi wanyama wote wa mwituni!

Tazama sura Nakili




Isaya 56:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe hufanya giza, kukawa usiku, Ndipo atambaapo kila mnyama wa mwitu.


Wote pamoja wataachiwa ndege wakali wa milimani, na wanyama wa nchi; ndege wakali watakaa juu yao wakati wa jua, na wanyama wote wa nchi watakaa juu yao wakati wa baridi.


Nikiita ndege mkali kutoka mashariki, mtu wa shauri langu toka nchi iliyo mbali; naam, nimenena, nami nitatekeleza; nimekusudia, nami nitafanya.


Je! Urithi wangu umekuwa kwangu kama ndege mwenye madoadoa? Ndege wakali wamemzunguka pande zote? Nendeni, wakusanyeni pamoja wanyama wote wa mwituni, waleteni ili wale.


Ole wao wachungaji, wanaoharibu kondoo za malisho yangu na kuwatawanya! Asema BWANA.


Nami nitakuacha ukiwa umetupwa jangwani, wewe na samaki wote wa mito yako; utaanguka katika uwanda ulio wazi; hutakusanywa, wala kuwekwa pamoja; nimekutoa uwe chakula cha wanyama wa nchi, na cha ndege wa angani.


Na wewe, mwanadamu, Bwana MUNGU asema hivi; Sema na ndege wa kila namna, na kila mnyama wa porini, Jikusanyeni, mje; jikusanyeni pande zote mwijie karamu yangu ya kafara ninayoandaa kwa ajili yenu, naam, karamu kuu ya kafara juu ya milima ya Israeli, mpate kula nyama na kunywa damu.


Na mzoga wako utakuwa chakula cha ndege wote wa angani, na wanyama wote wa duniani, pasiwe na mtu wa kuwafukuza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo