Isaya 56:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Kwa maana BWANA awaambia hivi matowashi, wanaozishika sabato zangu, na kuyachagua mambo yanipendezayo, na kulishika sana agano langu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Maana mimi Mwenyezi-Mungu nasema: Towashi ashikaye sheria zangu za Sabato, anayefanya mambo yanayonipendeza, na kulizingatia agano langu, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Maana mimi Mwenyezi-Mungu nasema: Towashi ashikaye sheria zangu za Sabato, anayefanya mambo yanayonipendeza, na kulizingatia agano langu, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Maana mimi Mwenyezi-Mungu nasema: Towashi ashikaye sheria zangu za Sabato, anayefanya mambo yanayonipendeza, na kulizingatia agano langu, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Kwa kuwa hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu: “Kwa matowashi washikao Sabato zangu, ambao huchagua kile kinachonipendeza na kulishika sana agano langu: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Kwa kuwa hili ndilo asemalo bwana: “Kwa matowashi washikao Sabato zangu, ambao huchagua kile kinachonipendeza na kulishika sana agano langu: Tazama sura |