Isaya 51:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Yeye aliyehamishwa na kufungwa atafunguliwa kwa haraka; wala hatakufa na kushuka shimoni, wala chakula chake hakitapunguka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Wanaodhulumiwa watafunguliwa hima, hawatakufa na kushuka shimoni, wala hawatatindikiwa chakula. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Wanaodhulumiwa watafunguliwa hima, hawatakufa na kushuka shimoni, wala hawatatindikiwa chakula. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Wanaodhulumiwa watafunguliwa hima, hawatakufa na kushuka shimoni, wala hawatatindikiwa chakula. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Wafungwa waliojikunyata kwa hofu watawekwa huru karibuni; hawatafia kwenye gereza lao, wala hawatakosa chakula. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Wafungwa waliojikunyata kwa hofu watawekwa huru karibuni; hawatafia kwenye gereza lao, wala hawatakosa chakula. Tazama sura |