Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Isaya 48:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Mimi, naam, mimi, nimenena; naam, nimemwita; nimemleta, naye ataifanikisha njia yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Mimi, naam, mimi nimeyasema na kumwita; nimemleta, naye atafaulu katika mpango wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Mimi, naam, mimi nimeyasema na kumwita; nimemleta, naye atafaulu katika mpango wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Mimi, naam, mimi nimeyasema na kumwita; nimemleta, naye atafaulu katika mpango wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Mimi, naam, Mimi, nimenena; naam, nimemwita yeye. Nitamleta, naye atafanikiwa katika lile nililomtuma.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Mimi, naam, Mimi, nimenena; naam, nimemwita yeye. Nitamleta, naye atafanikiwa katika lile nililomtuma.

Tazama sura Nakili




Isaya 48:15
8 Marejeleo ya Msalaba  

Katika fahari yako usitawi uendelee Kwa ajili ya kweli, upole na haki Na mkono wako wa kulia Utakutendea mambo ya ajabu.


Ni nani aliyemwinua mmoja atokaye mashariki, ambaye katika haki amemwita mguuni pake? Ampa mataifa mbele yake, na kumtawaza juu ya wafalme; awatoa wawe kama mavumbi kwa upanga wake, kama makapi yaliyopeperushwa kwa upinde wake.


nimwambiaye Koreshi, Mchungaji wangu, naye atayatenda mapenzi yangu; hata ataunena Yerusalemu, Utajengwa; na hilo hekalu, Msingi wako utawekwa.


Mimi nimemwinua katika haki, nami nitazinyosha njia zake zote; ataujenga mji wangu, naye atawaacha huru watu wangu waliohamishwa, si kwa kulipwa fedha, wala kwa kupewa zawadi, asema BWANA wa majeshi.


Panda juu ya nchi ya Merathaimu, naam, juu yake, na juu yao wakaao Pekodi; ua, ukaangamize nyuma yao, asema BWANA, ukatende kama nilivyokuagiza, yote pia.


Siku ya tano ya mwezi, nao ulikuwa ni mwaka wa tano wa kuhamishwa kwake mfalme Yehoyakini,


Kitabu hiki cha torati kisiondoke kinywani mwako, bali yatafakari maneno yake mchana na usiku, upate kuangalia kutenda kulingana na maneno yote yaliyoandikwa humo; maana ndipo utakapoifanikisha njia yako, kisha ndipo utakapositawi sana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo