Isaya 45:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC24 Mmoja ataniambia, Kwa BWANA, peke yake, iko haki na nguvu; naam, watu watamwendea yeye, na wote waliomkasirikia watatahayarika. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 “Watasema juu yangu, ‘Haki na nguvu viko kwa Mwenyezi-Mungu peke yake.’” Wote waliomwakia hasira Mwenyezi-Mungu watamjia yeye na kuaibishwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 “Watasema juu yangu, ‘Haki na nguvu viko kwa Mwenyezi-Mungu peke yake.’” Wote waliomwakia hasira Mwenyezi-Mungu watamjia yeye na kuaibishwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 “Watasema juu yangu, ‘Haki na nguvu viko kwa Mwenyezi-Mungu peke yake.’” Wote waliomwakia hasira Mwenyezi-Mungu watamjia yeye na kuaibishwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Watasema kunihusu, ‘Katika Mwenyezi Mungu peke yake ndiko kuna haki na nguvu.’ ” Wote ambao wamemkasirikia Mungu watamjia yeye, nao watatahayarika. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Watasema kuhusu mimi, ‘Katika bwana peke yake ndiko kuna haki na nguvu.’ ” Wote ambao wamemkasirikia Mungu watamjia yeye, nao watatahayarika. Tazama sura |