Isaya 44:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC24 BWANA, mkombozi wako, yeye aliyekuumba tumboni, asema hivi; Mimi ni BWANA, nifanyaye vitu vyote; nizitandaye mbingu peke yangu; niienezaye nchi; ni nani aliye pamoja nami? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Mwenyezi-Mungu, Mkombozi wako, aliyekuumba tangu tumboni mwa mama yako, asema: “Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu niliyeumba vitu vyote. Mimi peke yangu nilizitandaza mbingu, niliiumba dunia kwa nguvu yangu mwenyewe! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Mwenyezi-Mungu, Mkombozi wako, aliyekuumba tangu tumboni mwa mama yako, asema: “Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu niliyeumba vitu vyote. Mimi peke yangu nilizitandaza mbingu, niliiumba dunia kwa nguvu yangu mwenyewe! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Mwenyezi-Mungu, Mkombozi wako, aliyekuumba tangu tumboni mwa mama yako, asema: “Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu niliyeumba vitu vyote. Mimi peke yangu nilizitandaza mbingu, niliiumba dunia kwa nguvu yangu mwenyewe! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 “Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu, Mkombozi wako, aliyekuumba tumboni: “Mimi ni Mwenyezi Mungu, niliyeumba vitu vyote, niliyezitanda mbingu peke yangu, niliyeitandaza nchi mwenyewe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 “Hili ndilo asemalo bwana, Mkombozi wako, aliyekuumba tumboni: “Mimi ni bwana, niliyeumba vitu vyote, niliyezitanda mbingu peke yangu, niliyeitandaza nchi mwenyewe, Tazama sura |