Isaya 41:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 ili waone, na kujua, wakafikiri, na kufahamu pamoja, ya kuwa mkono wa BWANA ndio uliofanya jambo hilo. Mtakatifu wa Israeli ndiye aliyeliumba. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Watu wataona jambo hilo, nao watatambua na kuelewa kwamba mimi Mwenyezi-Mungu nimetenda hayo, mimi Mtakatifu wa Israeli nimefanya jambo hilo.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Watu wataona jambo hilo, nao watatambua na kuelewa kwamba mimi Mwenyezi-Mungu nimetenda hayo, mimi Mtakatifu wa Israeli nimefanya jambo hilo.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Watu wataona jambo hilo, nao watatambua na kuelewa kwamba mimi Mwenyezi-Mungu nimetenda hayo, mimi Mtakatifu wa Israeli nimefanya jambo hilo.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 ili watu wapate kuona na kujua, wapate kufikiri na kuelewa, kwamba mkono wa Mwenyezi Mungu umetenda hili, kwamba yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli ndiye alilifanya.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 ili kwamba watu wapate kuona na kujua, wapate kufikiri na kuelewa, kwamba mkono wa bwana umetenda hili, kwamba yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli ndiye alilifanya.” Tazama sura |