Isaya 38:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC22 Tena Hezekia alikuwa amesema, Iko ishara gani ya kunionesha ya kuwa nitapanda niingie nyumbani mwa BWANA? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Hezekia akauliza, “Ni ishara gani itakayonijulisha kwamba mimi nitakwenda katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Hezekia akauliza, “Ni ishara gani itakayonijulisha kwamba mimi nitakwenda katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Hezekia akauliza, “Ni ishara gani itakayonijulisha kwamba mimi nitakwenda katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Hezekia alikuwa ameuliza, “Kutakuwa na ishara gani kwamba nitapanda kwenda Hekalu la Mwenyezi Mungu?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Hezekia alikuwa ameuliza, “Kutakuwa na ishara gani kwamba nitapanda kwenda Hekalu la bwana?” Tazama sura |