Isaya 38:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 Aliye hai, naam, aliye hai, ndiye atakayekusifu, kama mimi leo; Baba atawajulisha watoto uaminifu wako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Walio hai ndio wanaokushukuru, kama na mimi ninavyofanya leo. Kina baba huwajulisha watoto wao uaminifu wako. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Walio hai ndio wanaokushukuru, kama na mimi ninavyofanya leo. Kina baba huwajulisha watoto wao uaminifu wako. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Walio hai ndio wanaokushukuru, kama na mimi ninavyofanya leo. Kina baba huwajulisha watoto wao uaminifu wako. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Walio hai, walio hai: hao wanakusifu, kama ninavyofanya leo. Baba huwaambia watoto wao habari za uaminifu wako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Walio hai, walio hai: hao wanakusifu, kama ninavyofanya leo. Baba huwaambia watoto wao habari za uaminifu wako. Tazama sura |