Isaya 36:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Mfalme asema hivi; Hezekia asiwadanganye, kwa maana hataweza kuwaokoa; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Hiki ndicho anachosema mfalme: Msikubali Hezekia awadanganye, kwa sababu hataweza kuwaokoa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Hiki ndicho anachosema mfalme: Msikubali Hezekia awadanganye, kwa sababu hataweza kuwaokoa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Hiki ndicho anachosema mfalme: Msikubali Hezekia awadanganye, kwa sababu hataweza kuwaokoa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Hili ndilo asemalo mfalme: Msikubali Hezekia awadanganye. Hawezi kuwaokoa! Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Hili ndilo asemalo mfalme: Msikubali Hezekia awadanganye. Hawezi kuwaokoa! Tazama sura |