Isaya 36:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Je! Nimepanda mimi, ili kupigana na mahali hapa na kupaangamiza, bila shauri la BWANA? BWANA ndiye aliyeniambia, Panda upigane na nchi hii na kuiangamiza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Zaidi ya hayo, je, mnafikiri nimekuja bila amri ya Mwenyezi-Mungu ili kuishambulia na kuiangamiza nchi hii? Mwenyezi-Mungu ndiye aliyeniambia ‘Ishambulie nchi hii na kuiangamiza!’” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Zaidi ya hayo, je, mnafikiri nimekuja bila amri ya Mwenyezi-Mungu ili kuishambulia na kuiangamiza nchi hii? Mwenyezi-Mungu ndiye aliyeniambia ‘Ishambulie nchi hii na kuiangamiza!’” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Zaidi ya hayo, je, mnafikiri nimekuja bila amri ya Mwenyezi-Mungu ili kuishambulia na kuiangamiza nchi hii? Mwenyezi-Mungu ndiye aliyeniambia ‘Ishambulie nchi hii na kuiangamiza!’” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Zaidi ya hayo, je, nimekuja kushambulia na kuangamiza nchi hii bila Mwenyezi Mungu? Mwenyezi Mungu mwenyewe ndiye aliniambia niishambulie nchi hii na kuiangamiza.’ ” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Zaidi ya hayo, je, nimekuja kushambulia na kuangamiza nchi hii bila bwana? bwana mwenyewe ndiye aliniambia niishambulie nchi hii na kuiangamiza.’ ” Tazama sura |