Isaya 35:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Hapo hapatakuwa na simba, wala mnyama mkali hatapanda juu yake; hawataonekana hapo; bali waliokombolewa watakwenda katika njia hiyo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 humo hakutakuwa na simba, mnyama yeyote mkali hatapitia humo, hao hawatapatikana humo. Lakini waliokombolewa ndio watakaopita humo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 humo hakutakuwa na simba, mnyama yeyote mkali hatapitia humo, hao hawatapatikana humo. Lakini waliokombolewa ndio watakaopita humo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 humo hakutakuwa na simba, mnyama yeyote mkali hatapitia humo, hao hawatapatikana humo. Lakini waliokombolewa ndio watakaopita humo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Huko hakutakuwa na simba, wala mnyama mkali hatapita njia hiyo; hawatapatikana humo. Ila waliokombolewa tu ndio watakaopita huko, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Huko hakutakuwepo na simba, wala mnyama mkali hatapita njia hiyo, wala hawatapatikana humo. Ila waliokombolewa tu ndio watakaopita huko, Tazama sura |