Isaya 34:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Maana ni siku ya kisasi cha BWANA, mwaka wa malipo, ili kushindania Sayuni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Maana Mwenyezi-Mungu anayo siku ya kisasi; mwaka wa kulipiza maadui wa Siyoni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Maana Mwenyezi-Mungu anayo siku ya kisasi; mwaka wa kulipiza maadui wa Siyoni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Maana Mwenyezi-Mungu anayo siku ya kisasi; mwaka wa kulipiza maadui wa Siyoni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Kwa sababu Mwenyezi Mungu anayo siku ya kulipiza kisasi, mwaka wa malipo, siku ya kushindania shauri la Sayuni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Kwa sababu bwana anayo siku ya kulipiza kisasi, mwaka wa malipo, siku ya kushindania shauri la Sayuni. Tazama sura |