Isaya 33:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC24 Wala hapana mwenyeji atakayesema, Mimi mgonjwa; watu wakaao humo watasamehewa uovu wao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Hakuna atakayesema tena ni mgonjwa; watu watasamehewa uovu wao wote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Hakuna atakayesema tena ni mgonjwa; watu watasamehewa uovu wao wote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Hakuna atakayesema tena ni mgonjwa; watu watasamehewa uovu wao wote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Hakuna yeyote aishiye Sayuni atakayesema, “Mimi ni mgonjwa”; nazo dhambi za wale wanaoishi humo zitasamehewa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Hakuna yeyote aishiye Sayuni atakayesema, “Mimi ni mgonjwa”; nazo dhambi za wale waishio humo zitasamehewa. Tazama sura |