Isaya 33:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Angalia Sayuni, mji wa sikukuu zetu; macho yako yatauona Yerusalemu umekuwa makao ya raha; hema isiyotikisika; vigingi vyake havitang'olewa, wala kamba zake hazitakatika. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Tazameni Siyoni tunamofanya sikukuu zetu; tazameni mji Yerusalemu, makao matulivu, hema imara; vigingi vyake havitangolewa kamwe, kamba zake hazitakatwa hata moja. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Tazameni Siyoni tunamofanya sikukuu zetu; tazameni mji Yerusalemu, makao matulivu, hema imara; vigingi vyake havitangolewa kamwe, kamba zake hazitakatwa hata moja. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Tazameni Siyoni tunamofanya sikukuu zetu; tazameni mji Yerusalemu, makao matulivu, hema imara; vigingi vyake havitang'olewa kamwe, kamba zake hazitakatwa hata moja. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Mtazame Sayuni, mji wa sikukuu zetu; macho yenu yatauona Yerusalemu, mahali pa amani pa kuishi, hema ambalo halitaondolewa, nguzo zake hazitang’olewa kamwe, wala hakuna kamba yake yoyote itakayokatika. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Mtazame Sayuni, mji wa sikukuu zetu; macho yenu yatauona Yerusalemu, mahali pa amani pa kuishi, hema ambalo halitaondolewa, nguzo zake hazitang’olewa kamwe, wala hakuna kamba yake yoyote itakayokatika. Tazama sura |