Isaya 31:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Na mwamba wake utatoweka kwa sababu ya hofu, nao wakuu wake wataionea bendera hofu kuu, asema BWANA, ambaye moto wake u katika Sayuni, na tanuri yake katika Yerusalemu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Mfalme wao atatoroka kwa hofu, na maofisa wao wataiacha bendera yao kwa woga. Hayo ameyatamka Mwenyezi-Mungu ambaye moto wake umo mjini Siyoni, naam, tanuri lake limo mjini Yerusalemu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Mfalme wao atatoroka kwa hofu, na maofisa wao wataiacha bendera yao kwa woga. Hayo ameyatamka Mwenyezi-Mungu ambaye moto wake umo mjini Siyoni, naam, tanuri lake limo mjini Yerusalemu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Mfalme wao atatoroka kwa hofu, na maofisa wao wataiacha bendera yao kwa woga. Hayo ameyatamka Mwenyezi-Mungu ambaye moto wake umo mjini Siyoni, naam, tanuri lake limo mjini Yerusalemu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Ngome zao zitaanguka kwa sababu ya hofu; kwa kuona bendera ya vita, majemadari wao watashikwa na hofu ya ghafula,” asema Mwenyezi Mungu, ambaye moto wake uko Sayuni, nalo tanuru lake liko Yerusalemu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Ngome zao zitaanguka kwa sababu ya hofu; kwa kuona bendera ya vita, majemadari wao watashikwa na hofu ya ghafula,” asema bwana, ambaye moto wake uko Sayuni, nayo tanuru yake iko Yerusalemu. Tazama sura |