Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 28:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Tegeni masikio, sikieni sauti yangu, sikilizeni mkasikie neno langu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Tegeni sikio msikilize ninayowaambieni; sikilizeni kwa makini hotuba yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Tegeni sikio msikilize ninayowaambieni; sikilizeni kwa makini hotuba yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Tegeni sikio msikilize ninayowaambieni; sikilizeni kwa makini hotuba yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Sikilizeni msikie sauti yangu, tegeni masikio na msikie niyasemayo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Sikilizeni msikie sauti yangu, tegeni masikio na msikie niyasemayo.

Tazama sura Nakili




Isaya 28:23
11 Marejeleo ya Msalaba  

Usiwe na mungu mgeni ndani yako; Wala usimsujudie mungu mwingine.


Sikieni, enyi mbingu, tega sikio, Ee nchi, kwa maana BWANA amenena; Nimewalisha watoto na kuwalea, nao wameniasi.


Basi sasa msiwe watu wenye kudharau, vifungo vyenu msije vikakazwa; maana nimesikia kwa Bwana, BWANA wa majeshi, habari ya hukumu itakayotimizwa, nayo imekusudiwa, itakayoipata dunia yote pia.


Je! Mwenye kulima alima daima, ili apande? Afunua daima madongoa ya nchi yake, na kuyavunja?


Inukeni, enyi wanawake mnaostarehe, isikieni sauti yangu; enyi binti za watu msiojali, tegeni masikio yenu msikie maneno yangu.


Ee nchi, nchi, nchi, lisikie neno la BWANA.


Sikilizeni, enyi mbingu, nami nitanena; Na nchi isikie maneno ya kinywa changu.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Lakini ninayo maneno machache juu yako, kwa kuwa unao huko watu washikao mafundisho ya Balaamu, yeye aliyemfundisha Balaki atie kikwazo mbele ya Waisraeli, kwamba wavile vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu, na kuzini.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo