Isaya 25:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Katika siku hiyo watasema, Tazama, huyu ndiye Mungu wetu, Ndiye tuliyemngoja atusaidie; Huyu ndiye BWANA tuliyemngoja, Na tushangilie na kuufurahia wokovu wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Siku ile, watu wote watasema, “Huyu ndiye Mungu wetu! Tumemngojea atuokoe. Huyu ndiye Mwenyezi-Mungu tuliyemtazamia. Njoni tufurahi na kushangilia kwa kuwa ametuokoa.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Siku ile, watu wote watasema, “Huyu ndiye Mungu wetu! Tumemngojea atuokoe. Huyu ndiye Mwenyezi-Mungu tuliyemtazamia. Njoni tufurahi na kushangilia kwa kuwa ametuokoa.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Siku ile, watu wote watasema, “Huyu ndiye Mungu wetu! Tumemngojea atuokoe. Huyu ndiye Mwenyezi-Mungu tuliyemtazamia. Njoni tufurahi na kushangilia kwa kuwa ametuokoa.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Katika siku ile watasema, “Hakika huyu ndiye Mungu wetu; tulimtumaini, naye akatuokoa. Huyu ndiye Mwenyezi Mungu, tuliyemtumaini; sisi tushangilie na kufurahia katika wokovu wake.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Katika siku ile watasema, “Hakika huyu ndiye Mungu wetu; tulimtumaini, naye akatuokoa. Huyu ndiye bwana, tuliyemtumaini; sisi tushangilie na kufurahia katika wokovu wake.” Tazama sura |