Isaya 25:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Kwa maana mkono wa BWANA utatulia katika mlima huu, na Moabu atakanyagwa chini huko aliko, kama vile majani makavu yakanyagwavyo katika maji machafu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Mwenyezi-Mungu ataulinda mlima wa Siyoni, lakini watu wa Moabu watakanyagwakanyagwa nchini mwao kama nyasi katika shimo la mbolea. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Mwenyezi-Mungu ataulinda mlima wa Siyoni, lakini watu wa Moabu watakanyagwakanyagwa nchini mwao kama nyasi katika shimo la mbolea. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Mwenyezi-Mungu ataulinda mlima wa Siyoni, lakini watu wa Moabu watakanyagwakanyagwa nchini mwao kama nyasi katika shimo la mbolea. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Mkono wa Mwenyezi Mungu utatulia juu ya mlima huu, bali Moabu atakanyagwa chini kama majani makavu yakanyagwavyo kwenye shimo la mbolea. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Mkono wa bwana utatulia juu ya mlima huu, bali Moabu atakanyagwa chini kama majani makavu yakanyagwavyo kwenye shimo la mbolea. Tazama sura |