Isaya 2:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Na majivuno ya mwanadamu yatainamishwa, na kiburi cha watu kitashushwa; naye BWANA, yeye peke yake, atatukuzwa siku hiyo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Kiburi chote cha watu kitakomeshwa, majivuno ya kila mtu yatavunjwa. Na Mwenyezi-Mungu peke yake atatukuzwa siku hiyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Kiburi chote cha watu kitakomeshwa, majivuno ya kila mtu yatavunjwa. Na Mwenyezi-Mungu peke yake atatukuzwa siku hiyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Kiburi chote cha watu kitakomeshwa, majivuno ya kila mtu yatavunjwa. Na Mwenyezi-Mungu peke yake atatukuzwa siku hiyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Majivuno ya mwanadamu yatashushwa, na kiburi cha wanadamu kitanyenyekezwa, Mwenyezi Mungu peke yake ndiye atatukuzwa siku hiyo, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Majivuno ya mwanadamu yatashushwa, na kiburi cha wanadamu kitanyenyekezwa, bwana peke yake ndiye atatukuzwa siku hiyo, Tazama sura |