Isaya 14:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 Tena itakuwa katika siku ile, ambayo BWANA atakupa raha baada ya huzuni yako, na baada ya taabu yako, na baada ya utumishi ule mgumu uliotumikishwa; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Ewe Israeli, wakati Mwenyezi-Mungu atakapokufariji baada ya mateso, misukosuko na utumwa uliofanyiwa, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Ewe Israeli, wakati Mwenyezi-Mungu atakapokufariji baada ya mateso, misukosuko na utumwa uliofanyiwa, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Ewe Israeli, wakati Mwenyezi-Mungu atakapokufariji baada ya mateso, misukosuko na utumwa uliofanyiwa, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Katika siku Mwenyezi Mungu atakapokuondolea mateso, udhia na utumwa wa kikatili, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Katika siku bwana atakapokuondolea mateso, udhia na utumwa wa kikatili, Tazama sura |