Isaya 14:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Lakini utashushwa mpaka kuzimu; Mpaka pande za mwisho za shimo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Lakini umeporomoshwa hadi kuzimu; umeshushwa chini kabisa shimoni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Lakini umeporomoshwa hadi kuzimu; umeshushwa chini kabisa shimoni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Lakini umeporomoshwa hadi kuzimu; umeshushwa chini kabisa shimoni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Lakini umeshushwa chini hadi Kuzimu, hadi kwenye vina vya shimo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Lakini umeshushwa chini hadi kuzimu, hadi kwenye vina vya shimo. Tazama sura |
ili mti wowote, ulio karibu na maji, usijitukuze kwa sababu ya kimo chake, wala usitie kilele chake kati ya mawingu, wala mashujaa wake wasisimame katika kimo chao kirefu, naam, wote wanywao maji; maana wote wametolewa wafe, waende pande za chini za nchi, kati ya wanadamu, pamoja nao washukao shimoni.