Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 14:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Lakini utashushwa mpaka kuzimu; Mpaka pande za mwisho za shimo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Lakini umeporomoshwa hadi kuzimu; umeshushwa chini kabisa shimoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Lakini umeporomoshwa hadi kuzimu; umeshushwa chini kabisa shimoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Lakini umeporomoshwa hadi kuzimu; umeshushwa chini kabisa shimoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Lakini umeshushwa chini hadi Kuzimu, hadi kwenye vina vya shimo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Lakini umeshushwa chini hadi kuzimu, hadi kwenye vina vya shimo.

Tazama sura Nakili




Isaya 14:15
13 Marejeleo ya Msalaba  

Wao wakuonao watakukazia macho, Watakuangalia sana, wakisema, Je! Huyu ndiye aliyeitetemesha dunia, Huyu ndiye aliyetikisa falme;


Macho ya mwanadamu yaliyoinuka yatashushwa chini, na kiburi cha mwanadamu kitainamishwa, naye BWANA, yeye peke yake, atatukuzwa siku hiyo.


Kwa maana kutakuwa siku ya BWANA wa majeshi juu ya watu wote wenye kiburi na majivuno, na juu ya yote yaliyoinuka; nayo yatashushwa chini.


ili mti wowote, ulio karibu na maji, usijitukuze kwa sababu ya kimo chake, wala usitie kilele chake kati ya mawingu, wala mashujaa wake wasisimame katika kimo chao kirefu, naam, wote wanywao maji; maana wote wametolewa wafe, waende pande za chini za nchi, kati ya wanadamu, pamoja nao washukao shimoni.


Niliwatetemesha mataifa kwa mshindo wa kuanguka kwake, hapo nilipomtupa chini mpaka kuzimu, pamoja nao washukao shimoni; na miti yote ya Adeni, miti iliyo miteule na iliyo mizuri ya Lebanoni, yote inywayo maji, ilifarijika pande za chini za nchi.


ambao makaburi yao yamewekwa pande za shimo zilizo mbali sana, umati wote wamezunguka kaburi lake; wote pia wameuawa, wameanguka kwa upanga, waliotisha katika nchi yao walio hai.


Kiburi cha moyo wako kimekudanganya, Wewe ukaaye katika pango za majabali, Mwenye makao yako juu sana; Asemaye moyoni, Ni nani atakayenishusha mimi?


Nawe Kapernaumu, je! Utakuzwa mpaka mbinguni? Utashushwa mpaka kuzimu; kwa kuwa kama miujiza iliyofanyika kwako ingalifanyika katika Sodoma, ungalikuwapo mji huo hata leo.


Nawe Kapernaumu, je! Utakuzwa hata mbinguni? Utashushwa hata kuzimu.


Yule mnyama akakamatwa, na yule nabii wa uongo pamoja naye, yeye aliyezifanya hizo ishara mbele yake, ambazo kwa hizo aliwadanganya watu wale walioipokea ile chapa ya huyo mnyama, nao hao walioisujudia sanamu yake; hao wawili wakatupwa wakiwa hai katika lile ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo