Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 14:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Nitapaa kupita vimo vya mawingu, Nitafanana na yeye Aliye Juu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Nitapanda vilele vya mawingu nitajifanya kuwa sawa na Mungu Mkuu.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Nitapanda vilele vya mawingu nitajifanya kuwa sawa na Mungu Mkuu.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Nitapanda vilele vya mawingu nitajifanya kuwa sawa na Mungu Mkuu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Nitapaa juu kupita mawingu, nitajifanya kama Yeye Aliye Juu Sana.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Nitapaa juu kupita mawingu, nitajifanya kama Yeye Aliye Juu Sana.”

Tazama sura Nakili




Isaya 14:14
12 Marejeleo ya Msalaba  

kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.


Ujapopanda ukuu wake mpaka mbinguni, Na kichwa chake kufikia mawinguni;


Ufunuo juu ya nyika kando ya bahari. Kama tufani za Negebu zikaribiavyo kwa kasi, inakuja kutoka kwa nyika, toka nchi itishayo.


Haya, shuka, keti mavumbini, Ewe bikira, binti Babeli; Keti chini pasipo kiti cha enzi, Ewe binti wa Wakaldayo; Maana hutaitwa tena mwororo, mpenda anasa.


Sasa, basi, sikia haya, wewe upendaye anasa, ukaaye na kujiona salama, wewe usemaye moyoni mwako, Mimi ndiye, wala hapana mwingine zaidi yangu mimi; sitaketi kama mjane, wala sitajua kufiwa na watoto;


BWANA asema hivi, Angalia, nitaamsha juu ya Babeli, na juu yao wakaao Leb-kamai, upepo uharibuo.


Mwanadamu, mwambie mkuu wa Tiro, Bwana MUNGU asema hivi; Kwa kuwa moyo wako umeinuka, nawe umesema, Mimi ni mungu, nami nimeketi katika kiti cha Mungu, kati ya bahari; lakini u mwanadamu wala si Mungu, ujapokuwa umeweka moyo wako kama moyo wa Mungu.


Basi Bwana MUNGU asema hivi; kwa kuwa umetukuzwa kimo chako, naye ameweka kilele chake kati ya mawingu, na moyo wake umeinuka kwa urefu wake;


Naye mfalme atafanya kama apendavyo; naye atajitukuza na kujiadhimisha juu ya kila mungu, naye atanena maneno ya ajabu juu ya Mungu wa miungu, naye atafanikiwa mpaka ghadhabu itakapotimia; maana yaliyokusudiwa yatafanyika.


Wala hataijali miungu ya baba zake; wala yeye aliyetamaniwa na wanawake; wala hatamjali mungu awaye yote; maana atajitukuza mwenyewe juu ya wote.


yule mpingamizi, ajiinuaye nafsi yake juu ya kila kiitwacho Mungu ama cha kuabudiwa; hata yeye mwenyewe kuketi katika hekalu la Mungu, akijionesha nafsi yake kana kwamba yeye ndiye Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo