Isaya 10:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC33 Angalia, Bwana, BWANA wa majeshi, atayakata matawi kwa nguvu za kutisha; nao walio warefu wa kimo watakatwa; na hao walioinuka wataangushwa chini; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Bwana Mwenyezi-Mungu wa majeshi atakata matawi yake kwa ukatili; miti mirefu itaangushwa chini, walio juu wataaibishwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Bwana Mwenyezi-Mungu wa majeshi atakata matawi yake kwa ukatili; miti mirefu itaangushwa chini, walio juu wataaibishwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Bwana Mwenyezi-Mungu wa majeshi atakata matawi yake kwa ukatili; miti mirefu itaangushwa chini, walio juu wataaibishwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 Tazama, Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni, atayakata matawi kwa nguvu kuu. Miti mirefu sana itaangushwa, ile mirefu itashushwa chini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 Tazama, Bwana, bwana Mwenye Nguvu Zote, atayakata matawi kwa nguvu kuu. Miti mirefu sana itaangushwa, ile mirefu itashushwa chini. Tazama sura |