Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 1:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

30 Maana mtakuwa kama mwaloni ambao majani yake yakauka, na kama bustani isiyo na maji.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Mtakuwa kama mwaloni unaonyauka majani; kama shamba lisilo na maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Mtakuwa kama mwaloni unaonyauka majani; kama shamba lisilo na maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Mtakuwa kama mwaloni unaonyauka majani; kama shamba lisilo na maji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Mtakuwa kama mwaloni ulio na majani yanayonyauka, kama bustani isiyokuwa na maji.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Mtakuwa kama mwaloni wenye majani yanayonyauka, kama bustani isiyokuwa na maji.

Tazama sura Nakili




Isaya 1:30
11 Marejeleo ya Msalaba  

Abramu akapita katikati ya nchi mpaka mahali patakatifu pa Shekemu; mpaka mwaloni wa More. Na Wakanaani siku zile walikaa katika nchi hiyo.


nami nitaliharibu; wala halitapogolewa wala kulimwa, bali litamea mbigili na miiba; nami nitayaamuru mawingu yasinyeshe mvua juu yake.


Naye BWANA atakuongoza daima, ataishibisha nafsi yako mahali pasipokuwa na maji, na kuitia nguvu mifupa yako; nawe utakuwa kama bustani iliyotiwa maji, na kama chemchemi ambayo maji yake hayapungui.


Wewe wamlaki yeye afurahiaye yaliyo haki na kuyatenda, watu wale wakukumbukao katika njia zako; tazama, ulikuwa na hasira, nasi tulitenda dhambi; tumekuwa katika dhambi kwa muda mrefu, nasi Je! Tutaokolewa?


Kwa maana sisi sote tumekuwa kama mtu aliye mchafu, na matendo yetu yote ya haki yamekuwa kama nguo iliyotiwa unajisi; sisi sote twanyauka kama jani, na maovu yetu yatuondoa, kama upepo uondoavyo.


Nao watakuja, na kuimba katika mlima Sayuni, wataukimbilia wema wa BWANA, nafaka, na divai, na mafuta, na wachanga wa kondoo na wa ng'ombe; na roho zao zitakuwa kama bustani iliyotiwa maji; wala hawatahuzunika tena kabisa.


Na miti yote ya mashamba itajua ya kuwa mimi, BWANA, nimeushusha chini mti mrefu, na kuuinua mti mfupi, na kuukausha mti mbichi, na kuusitawisha mti mkavu; mimi, BWANA, nimenena, nami nimelitenda jambo hili.


Akaona mtini mmoja kando ya njia, akauendea, asione kitu juu yake ila majani tu; akauambia, Yasipatikane matunda kwako tangu leo hata milele. Mtini ukanyauka mara.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo