Isaya 1:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC30 Maana mtakuwa kama mwaloni ambao majani yake yakauka, na kama bustani isiyo na maji. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Mtakuwa kama mwaloni unaonyauka majani; kama shamba lisilo na maji. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Mtakuwa kama mwaloni unaonyauka majani; kama shamba lisilo na maji. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Mtakuwa kama mwaloni unaonyauka majani; kama shamba lisilo na maji. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Mtakuwa kama mwaloni ulio na majani yanayonyauka, kama bustani isiyokuwa na maji. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Mtakuwa kama mwaloni wenye majani yanayonyauka, kama bustani isiyokuwa na maji. Tazama sura |