Isaya 1:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC24 Kwa hiyo, asema Bwana, BWANA wa majeshi, Mwenye enzi, wa Israeli, Nitapata faraja kwa hao wanipingao, nitalipiza kisasi kwa adui zangu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Kwa hiyo asema Bwana Mwenyezi-Mungu, Mwenye Nguvu wa Israeli: “Nitawamwagia maadui zangu hasira yangu, nitawalipiza kisasi wapinzani wangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Kwa hiyo asema Bwana Mwenyezi-Mungu, Mwenye Nguvu wa Israeli: “Nitawamwagia maadui zangu hasira yangu, nitawalipiza kisasi wapinzani wangu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Kwa hiyo asema Bwana Mwenyezi-Mungu, Mwenye Nguvu wa Israeli: “Nitawamwagia maadui zangu hasira yangu, nitawalipiza kisasi wapinzani wangu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Kwa hiyo Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni, Mwenye Nguvu wa Israeli, asema hivi: “Lo! Nitapata faraja kutoka kwa adui zangu, na kujilipizia kisasi kwa watesi wangu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Kwa hiyo Bwana, bwana Mwenye Nguvu Zote, Mwenye Nguvu wa Israeli, asema hivi: “Lo, nitapata faraja kutoka kwa adui zangu na kujilipizia kisasi juu ya watesi wangu. Tazama sura |