Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hosea 9:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Sakafu na shinikizo hazitawalisha, na divai mpya itampungukia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Lakini ngano na mapipa ya divai haitawalisha, hamtapata divai mpya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Lakini ngano na mapipa ya divai haitawalisha, hamtapata divai mpya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Lakini ngano na mapipa ya divai haitawalisha, hamtapata divai mpya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Sakafu za kupuria nafaka na mashinikizo ya kukamulia divai havitalisha watu, divai mpya itawapungukia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Sakafu za kupuria nafaka na mashinikizo ya kukamulia divai havitalisha watu, divai mpya itawapungukia.

Tazama sura Nakili




Hosea 9:2
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaja mpaka uwanja wa kupuria nafaka wa Atadi, uliyo ng'ambo ya Yordani. Wakaomboleza huko maombolezo makuu, mazito sana. Akafanya matanga ya baba yake siku saba.


Tena nitaikomesha furaha yake yote, na sikukuu zake, na siku zake za mwandamo wa mwezi, na sabato zake, na makusanyiko yake yote yaliyoamriwa.


Nami nitaiharibu mizabibu yake na mitini yake, ambayo alisema, Hii ndiyo ujira wangu niliopewa na wapenzi wangu; nami nitaifanya kuwa msitu, na wanyama wa mashamba wataila.


Basi kwa ajili ya hayo, nitaitwaa tena ngano yangu kwa wakati wake, na divai yangu kwa wakati wake, nami nitamnyang'anya sufu yangu na kitani yangu, vya kumfunika uchi wake.


Basi, kwa kuwa mnamkanyaga maskini, na kumtoza ngano; ninyi mmejenga nyumba za mawe yaliyochongwa, lakini hamtakaa ndani yake; ninyi mmepanda mashamba mazuri ya mizabibu, lakini hamtakunywa divai yake.


Mlitazamia vingi, kumbe vikatokea vichache; tena mlipovileta nyumbani nikavipeperusha mbali. Ni kwa sababu gani? Asema BWANA wa majeshi. Ni kwa sababu yumba yangu imebaki kuwa gofu la nyumba, wakati ambapo kila mmoja wenu anakimbilia nyumbani kwake.


katika wakati huo wote, mtu alipofikia rundo la vipimo ishirini, palikuwa na vipimo kumi tu; na mtu alipofikia pipa kubwa apate kuteka divai ya vyombo hamsini, palikuwa na divai ya vyombo ishirini tu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo