Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 6:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 BWANA akubariki, na kukulinda;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 ‘Mwenyezi-Mungu awabariki na kuwalinda;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 ‘Mwenyezi-Mungu awabariki na kuwalinda;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 ‘Mwenyezi-Mungu awabariki na kuwalinda;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 “ ‘ “Mwenyezi Mungu akubariki na kukulinda;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 “ ‘ “bwana akubariki na kukulinda;

Tazama sura Nakili




Hesabu 6:24
22 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, mimi nipo pamoja nawe, nitakulinda kila uendako, nami nitakuleta tena mpaka nchi hii, kwa maana sitakuacha, hata nitakapokufanyia hayo niliyokuambia.


basi, sasa, uwe radhi, ukaibariki nyumba ya mtumishi wako, ipate kudumu milele mbele zako; kwa maana wewe, Ee Bwana MUNGU, umelinena na kwa baraka yako nyumba ya mtumishi wako na ibarikiwe milele.


BWANA akubariki toka Sayuni, Aliyeziumba mbingu na nchi.


Unilinde kama mboni ya jicho, Unifiche chini ya kivuli cha mbawa zako;


Uwaokoe watu wako, uubariki urithi wako, Uwachunge, uwachukue milele.


Kwa kuwa atakuagizia malaika wake Wakulinde katika njia zako zote.


Mimi, BWANA, nililinda, Nitalitia maji kila dakika, Asije mtu akaliharibu; Usiku na mchana nitalilinda.


Mimi, BWANA, nimekuita katika haki, nami nitakushika mkono, na kukulinda, na kukutoa uwe agano la watu, na nuru ya mataifa;


Basi sasa, Ee Mungu wetu, yasikilize maombi ya mtumishi wako, na dua zake, ukaangazishe uso wako juu ya patakatifu pako palipo ukiwa, kwa ajili ya Bwana.


Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo.


Kwa maana wewe ukibariki kwa roho, yeye aketiye katika mahali pa mjinga ataitikaje, Amina, baada ya kushukuru kwako, akiwa hayajui usemayo?


Neema na iwe pamoja na wote wampendao Bwana wetu Yesu Kristo kwa upendo usioisha.


Neema ya Bwana Yesu Kristo na iwe pamoja na roho zenu.


Na amani ya Mungu, ipitayo akili zote, itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu.


Mungu wa amani mwenyewe awatakase kabisa; nanyi nafsi zenu na roho zenu na miili yenu mhifadhiwe muwe kamili, bila lawama, wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo.


Nanyi mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani ili mpate wokovu ulio tayari kufunuliwa wakati wa mwisho.


Yeye awezaye kuwalinda ninyi msijikwae, na kuwasimamisha mbele ya utukufu wake bila mawaa katika furaha kuu;


Na tazama, Boazi akaja kutoka Bethlehemu na kuwaamkia wavunaji, akasema, BWANA akae nanyi. Nao wakamwitikia, BWANA na akubariki.


Yeye atailinda miguu ya watakatifu wake; Bali waovu watanyamazishwa gizani, Maana kwa nguvu hakuna atakayeshinda;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo