Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 5:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

31 Na huyo mume atakuwa hana uovu, na mwanamke atauchukua uovu wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Mumewe hatakuwa na hatia yoyote, lakini mwanamke atawajibika kwa uovu wake.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Mumewe hatakuwa na hatia yoyote, lakini mwanamke atawajibika kwa uovu wake.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Mumewe hatakuwa na hatia yoyote, lakini mwanamke atawajibika kwa uovu wake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Mume atakuwa hana hatia ya kosa lolote, bali mwanamke atayachukua matokeo ya dhambi yake.’ ”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Mume atakuwa hana hatia ya kosa lolote, bali mwanamke atayachukua matokeo ya dhambi yake.’ ”

Tazama sura Nakili




Hesabu 5:31
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ataitokeza haki yako kama nuru, Na hukumu yako kama jina la adhuhuri.


Tazama, roho zote ni mali yangu; kama vile roho ya baba ni mali yangu, ndivyo ilivyo roho ya mwana mali yangu; roho ile itendayo dhambi itakufa.


Na mtu aziniye na mke wa mtu mwingine, yeye aziniye na mke wa jirani yake, mwanamume aziniye, na mwanamke aziniye, hakika watauawa.


au, roho ya wivu ikimwingia mtu mume, naye akamwonea wivu mkewe; ndipo atakapomweka huyo mwanamke mbele za BWANA, na kuhani atatenda juu yake sheria hii yote.


Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,


Lakini mtu aliye safi, wala hakuwa katika safari, naye amekosa kuishika Pasaka, mtu huyo atatengwa na watu wake; kwa sababu hakumtolea BWANA matoleo kwa wakati wake ulioamriwa, mtu huyo atachukua dhambi yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo