Hesabu 5:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC28 Na kama mwanamke hakuwa na unajisi lakini yu safi; ndipo ataachiliwa, naye atazaa wana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema28 Lakini kama mwanamke huyo hajajitia unajisi na hana hatia, basi hatadhurika na ataweza kupata watoto. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND28 Lakini kama mwanamke huyo hajajitia unajisi na hana hatia, basi hatadhurika na ataweza kupata watoto. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza28 Lakini kama mwanamke huyo hajajitia unajisi na hana hatia, basi hatadhurika na ataweza kupata watoto. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu28 Hata hivyo, ikiwa huyo mwanamke hakujitia unajisi, naye ni safi, atasafishwa hatia na ataweza kuzaa watoto. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu28 Hata hivyo, ikiwa huyo mwanamke hakujitia unajisi, naye ni safi, atasafishwa hatia na ataweza kuzaa watoto. Tazama sura |